Tuesday 27 September 2016

Mahaba ya treysongz na vanesa mdee

Mwanamziki maarufu nchini marekani wa miondoko ya Rnb treysongz na mwanadada mrembo wa miondo ya bongo flavor anayetamba na kibao chake niroge vanessa mdee picha zao zenye utata za vuja kwenye mitandao ya kijamii wakiwa katika mazingira ya kimahaba yapo kuwa wawili hao wanadai kuna ngoma wamefanya na ivi punde itatolewa ,,,,,,,katika hali isiyo ya kawaida wasanii hao wakiwa katika picha ya pamoja kitandani ya zua utata kwenye mitandao iyo ya kijamii watu wakihoji kurikoni,,,??!! Je ni collabo ama kuna kingine zaidi ya collabo..??!! Daima wazungu wanasema "time will tell you"

1 comment:

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete