Tuesday 27 September 2016

Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv

Mkali uyo wa kibao cha skelewi kilichotikisa barani afrika atoa neno baada ya shabiki yake mmoja kuccoment kwenye twitter,,,,,,,,,,,baadaya muda mfupi davido aliamua kujibu "i really shouldn't be nominated this for what??.I got three MAMAs in two years i'm good still gonna be a great show!. But next years


1 comment: