Wednesday 28 September 2016

Ally kiba kuwania tuzo MTV EMA 2016

Hatimaye msanii wa miondoko ya bongo flavor alimaarufu kama Ally kiba anayetamba na kibao chake cha "Aje" atajwa kuwania tuzo izo kubwa katika kipengere cha "Best African Act ".Ambapo tuzo iyo mwaka jana ilichukuliwa na mshindani wake mkubwa Diamond platnumz na kuweka historia ya kuwa mwafrika wa kwanza kuchukua tuzo iyo tangu zianzishwe.Katika tuzo izo Ally kiba akiwa ni mwakilishi pekee toka Tanzania kwa mwaka huu,ukilinganisha na washindani wenzake katika kipengele icho ambapo kuna wasanii wakubwa barani afrika akiwemo wizkid(Nigeria),Olamide(Nigeria),Casper na Black coffee wote kutoka Afrika kusini

"MUNGU IBARIKI AFRICA"
"MUNGU IBARIKI TANZANIA"

No comments:

Post a Comment