Friday 30 September 2016

Hizi ndio smartphone zenye gharama kubwa duniani 2016

10.vertu signature Diamond($88300) 

Simu hii gharama yake haitegemei na vitu(features) zilizopo bali kwani ina features chache lakini muundo wake na rangi ya simu huu ndio huifanya iwe simu ghali duniani kwani imenakishiwa na(diamond colour)

9.IPhone Princess plus($176,400)

Simu hii imetengenezwa na kampuni kubwa duniani ya apple,simu zote za kampuni hii zinamfumo(operating system) tofauti na mifumo ya simu nyingi.Simu hii inamuonekano mzuri na wenye kuvutia na ndio maana wakaamua kuiita “princess”.Bwana Peter Alvison ndio aliyeunda(design) simu hii ghali duniani

8.Black Diamond VIPN smartphone(3000,000)

Simu hii imetengenezwa na kampuni ya Sony Ericsson,simu hii imetengenezwa kwa ustadi mkubwa sana kwani ina muundo(features) nyingi sana ikiwemo polycarbonate mirrors na Organic Light Emitting Diode (LED) .Kioo cha simu hii ni imara sana na kuwa simu yenye kioo kigumu kuliko smartphone zingine duniani,uwepo wa diamond kwenye navigation button na nyingine nyuma ya simu ndio huifanya simu hii kuwa na gharama ya juu.

7.Vertu Signature Cobra($310,000)

Jina la simu hii ni kutokana na muundo wake wa nje kwani imenakishiwa kwa umahiri mkubwa sana(muonekano wa cobra sehemu ya mbele ya simu).simu hii imetengenezwa na madini aina ya rubi(four hundred and nine pure rubies).

6.Gresso Luxor Las Vegas jackpot(($ 1 million)

Simu hii imetengeneza na(bleach diamond na bleach African wood).Kwa wale wapenda smartphone zenye sifa nzingi(specifications) basi simu hii pamoja ni ya gharama ya juu simu haina sifa nyingi sana 

5.Diamond Crypto smartphone($1.3 million) 

Simu hii ni simu yenye hadhi sana hasa kwenye maeneo yenye mkusanyiko mkubwa mfano kwenye sherehe,matamasha hii ni kutokana na kuwa na muonekano mzuri machoni mwa watu.Simu hii imetengenezwa na (pure and solid platinum),ikiwa na 18 carat gold navigation key ambapo vipande 28 vya diamond vimetumika pembeni ya simu hii ili kuifanya iwe na muonekanao wa kuvutia,pia uwepo wa princess diamond hufanya iwe simu yenye gharama kubwa.

4.Goldvish Le million($ 1.3 million)

Bwana Emanuel Gueit ndio mtengenezaji wa hii simu,simu hii imetengenezwa kwa dhahabu halisi(white pure gold).Simu hii ni miongoni mwa simu zinazotengenezwa kwa oda maalumu

3.Iphone 3G King Button($ 1.5)

Simu hii ina(high quality 6.6 carat diamonds,yellow gold na rose gold) ivyo vyote kwa pamoja hufanya simu hii kuwa na muonekano wa kuvutia


2.IPhone 5 Black Diamond($15.3million)

Hii ni simu ya pili kwa gharama duniani,ukumbukwe kwamba upatikanaji wa black diamond ni mgumu sana duniani ndio maana simu hii gharama yake ni ya juu sana kutakana na kutengenezwa kwa na black diamond.


1.Falcon  Super Nova Pink Diamond IPhone 6 ($95.5million)

Uwepo wa (18carat of huge diamond) ndio huifanya kuwa ndio simu(smartphone) ya kwanza ghali duniani,simu hii pia imetengenezwa na kampuni ya apple kwa ustadi mkubwa sana na inatengenezwa kwa oda maalumu(special order)

No comments:

Post a Comment